Posts

Nafasi za Kazi Wiki Hii | Ajira Mpya Wiki Hii

Image
Kitaalamu Zaidi, Tunaweza Kukuandikia Barua ya Maombi ya Kazi na CV Uitwe Katika Usaili na Upate Kazi. Barua Tsh. 5,000/= na CV Tsh. 9,000/=.  Gusa Hapa  Kuwasiliana Nasi. Zipo nafasi za kazi za uhakika zimetoka kama ninavyokuletea hapa: Kwanza kuna nafasi za kazi katika Halmashauri ya Wilaya ya Makete. Hizi zimetangazwa tangu tarehe 26/07/2025. Nafasi hizo zinahusisha: Dereva daraja la II nafasi 12 Kuomba na kusoma maelekezo, fungua hapa . Pili ni nafasi za kazi kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Malinyi . Zimetangazwa tarehe 24/07/2025. katika kazi hizi anahitajika: Dereva daraja la II nafasi 3 Ili kuomba nafasi hizo, fungua hapa . Tatu ni nafasi za kazi kutoka halimashauri ya wilaya ya Momba. Zimetangazwa tarehe 23/07/2025. Zimetangazwa kazi hizi: Dereva daraja la II nafasi 6 Ili kuomba na kufahamu sifa na vigezo, soma zaidi hapa . Nne ni nafasi za kazi kutoka Halmashauri ya Wilaya ya MKuranga . Zimetangazwa tarehe 16/07/2025. Nafasi zilizotangwa ni: Dereva daraja la II nafasi...

Vichekesho 10 Vinavyochekesha Mpaka Mbavu Ziume

Image
Kama unataka kuwa mwenye afya bora, basi hakikisha unacheka , siku inayopita ikiwa na vicheko ndani yake ni siku bora mno.Kucheka ni jambo muhimu katika maisha. Kucheka huongeza kinga katika mwili wako, husaidia mwili kutoa homoni ya furaha aina ya ‘endorphins’, kucheka hulinda moyo, husaidia katika mmeng’enyo wa chakula, hupunguza hasira na kucheka kunaweza kuongeza hata siku zako za kuishi. Leo tunakuletea vichekesho 10, ambavyo ni lazima vikufanye ucheke, ufurahi na uwe mwenye afya bora. 1.  Nilikuwa na mjomba yangu, yeye alikuwa akiniambia nisiogope kitu kwa sababu ni askari . Siku moja nilikamatwa, nikampigia simu kumuita, alipofika, nikamwambia awaambie askari wenzake waniachie. Mjomba akanijibu kwa sauti ya upole, “Mjomba sina uwezo, mimi siyo askari polisi, mimi ni askari wa jeshi la wokovu kanisani kwetu, labda nikufanyie maombi.” 2.  Mlio kwenye mahusiano, mkiambiwa ‘take care’ na wapenzi wenu huwa mnajibuje? Msaada tafadhali. 3.  Nimeshuhudia mjomba akianguka k...

Mtihani wa Kiswahili Kidato cha Nne 2024 NECTA Majibu

Image
Sehemu A (Alama 16) 1. Katika kipengele I hadi X chagua herufi ya jibu sahihi kisha andika herufi ya jibu kwenye kijitabu chako cha kujibia. (i) Vifuatavyo ni vyanzo vya misimu, isipokuwa: A Tanakali sauti au milio A B Sayansi na Teknolojia C Shughuli maalumu D Utani katika jamii E Mabadiliko ya historia (ii) Neno lenye mofu ya mtendwa ni lipi kati ya haya? A Aliyetembea B Alimkimbilia B C Alivyotembea D Atakayetembea E Ametembea (iii) Msaada wako umenifaa sana. Asante! Neno "Asante!" ni aina gani ya neno? A Nomino B Kivumishi C Kielezi D Kitenzi E Kihisishi E (iv) Tamathali ipi ya semi hukipa kitu kisicho binadamu sifa ya ubinadamu? A Taniaba B Tashihisi B C Tashibiha D Takriri E Tabaini (v) "Wanafunzi wa Kidato cha Pili wamepigiwa ngoma." Kauli hii inaonesha hali gani? A Kutendana B Kutendeka C Kutendewa C D Kutendwa E Kutendea (v) "Wanafunzi wa Kidato cha Pili wamepigwa ngoma." Kauli hii inaonesha hali gani? A Kutendana B Kutendeka C Kutendewa D Kuten...