Mtihani wa Kiswahili Kidato cha Nne 2024 NECTA Majibu

Sehemu A (Alama 16) 1. Katika kipengele I hadi X chagua herufi ya jibu sahihi kisha andika herufi ya jibu kwenye kijitabu chako cha kujibia. (i) Vifuatavyo ni vyanzo vya misimu, isipokuwa: A Tanakali sauti au milio A B Sayansi na Teknolojia C Shughuli maalumu D Utani katika jamii E Mabadiliko ya historia (ii) Neno lenye mofu ya mtendwa ni lipi kati ya haya? A Aliyetembea B Alimkimbilia B C Alivyotembea D Atakayetembea E Ametembea (iii) Msaada wako umenifaa sana. Asante! Neno "Asante!" ni aina gani ya neno? A Nomino B Kivumishi C Kielezi D Kitenzi E Kihisishi E (iv) Tamathali ipi ya semi hukipa kitu kisicho binadamu sifa ya ubinadamu? A Taniaba B Tashihisi B C Tashibiha D Takriri E Tabaini (v) "Wanafunzi wa Kidato cha Pili wamepigiwa ngoma." Kauli hii inaonesha hali gani? A Kutendana B Kutendeka C Kutendewa C D Kutendwa E Kutendea (v) "Wanafunzi wa Kidato cha Pili wamepigwa ngoma." Kauli hii inaonesha hali gani? A Kutendana B Kutendeka C Kutendewa D Kuten...