Nafasi za Kazi ya Ualimu Ameady School
Ameady School ni Shule mpya ambayo inapanga kufanya mapinduzi makubwa katika elimu nchini Tanzania , hivyo, tunahitaji walimu wenye ari ya kufanya kazi, vipaji halisi vya ufundishaji na moyo wa ushindani na kujituma. Tunakaribisha maombi ya kazi ya walimu awamu ya kwanza katika nafasi zifuatazo: Walimu Wa Masomo Haya Wanahitajika: Physics (Nafasi 4) Mathematics (Nafasi 4) Biology (Nafasi 4) Chemistry (Nafasi 4) History (Nafasi 4) Kiswahili (Nafasi 4) English (Nafasi 4) Academic Communication (Nafasi 2) Historia ya Tanzania na Maadili (Nafasi 2) Sifa za Waombaji Waombaji wote wawe na shahada katika Elimu ( Bachelor Degree ) kutoka chuo chochote kinachotambulika na serikali. Muda wa Kupokea Maombi Maombi yatapokelewa kuanzia tarehe 23 Mei, 2026. Jinsi ya Kutuma Maombi Yako: Tuma CV Yako Pekee, CV Zitasomwa na Mashine, Hakikisha CV Yako Inafuata Mfumo wa ATS (ATS Friendly Resume). CV Zote Zitumwe Katika Email Hii: fifeha5185@ameady.com Usipoitwa ndani ya mwezi mmoja baada ya kutuma CV yak...