Pan Africanism All Questions | History Form Five Topic 1
Haya ni maswali 18 ya lazima katika topic ya Pan Africanism. Uki ‘solve’ maswali haya, hakuna swali jipya litakusumbua katika mada hii ya kwanza na ya lazima katika somo la History Kidato cha tano. Hii ni muhimu kwa wanafunzi wanaojiandaa na mtihani wa kidato cha sita, lakini ni muhimu kwa walimu wanaowaandaa wanafunzi hao. Mtaala umebadilika, na somo la history nalo limebadilika. Zamani tulizoea kusoma hoja, kisha tukakuta maswali yake kama yalivyokuwa katika hoja hizo. Sasa mambo ni tofauti, mfumo mpya uitwao ‘ competence based ’ unapima umahiri, kwamba, umesoma mada nzima, sasa tumia maarifa hayo kujibu maswali ambayo pengine hayamo katika kitabu ulichosoma lakini unaweza kutumia maarifa hayohayo uliyoyasoma kitabuni kuja na majibu mapya. Ukitaka kuufahamu mfumo wa ‘competence based’, tazama swali hili, Explain the essence of the phrase “Africa is for the Africans.” kama huna umahiri wa kutosha Katika swali hili, unaweza kuingia na kitabu na ukashindwa kuyapata majibu! Unaposoma vit...