Posts

Usaili Ajira za Walimu Sehemu Muhimu za Kusoma | CT 100

Image
Ajira za Ualimu zinapatikana kwa usaili miaka hii. Changamoto kubwa inayoibuka hapa ni kwamba, walimu wengi hususani waliohitimu miaka ya zamani sana, kwa mfano mwaka 2015, inakuwa ngumu kwao kufahamu waanzie wapi kusoma, kwani wengi wao tangu wahitimu vyuo, wanafanya kazi nje ya taaluma zao. Tunatoa suluhisho, hapa tunaonyesha maeneo machache, kwa lugha nyepesi ambayo ndiyo yanayotoka katika mtihani. Hapa tunakuletea mambo tisa ambayo kabla hujaingia katika chumba cha mtihani hakikisha unayafahamu. Mambo haya, yametolewa katika somo la CT 100 . Pedagogical Knowledge Understanding teaching practices and classroom management that educators bring to their job. Context Knowledge An awareness in the social, economic and environmental atmosphere of the society and institutions. Content Knowledge Matter for a teacher mastery of the subject matter they are teaching. Behaviorism Theory of learning based on the idea that all behaviors are acquired through conditioning and learning occurs throu...

SMS 20 za Vichekesho Zinazochekesha Sana

Image
Tumekukusanyia mkusanyiko wa vichekesho vinavyochekesha sana. Vichekesho hivi, vitakufanya ufurahi muda wote, ni vizuri zaidi, uki’share’ na wenzako. 1.  Huu mwezi mwenye nyumba aje atoe nyumba yake kwenye vitu vyangu, sina kodi. 2.  Nimetoa vyombo nje nifanye usafi, kurudi naambiwa gari la taka limebeba. 3.  Kwa jinsi maisha yalivyo magumu siku hizi unajikuta wewe ndiyo unamuamsha jogoo. 4.  Chakula chenyewe unakipata kwa mateso halafu bado unakiwekea pilipili, una tatizo gani mkuu? 5.  Mtu anakuja kuniomba elfu 20 kweli! Unaniombaje nusu ya utajiri wangu? 6.  Daktari: Bia inatanua moyo. Walevi: imeshindwa kutanua chupa itatanua moyo? 7.  Nimeota nakula tambi, kuamka sizioni "earphone" zangu. 8.  Taja faida kwa nini unaishi peke yako. Hakuna wa kuniuliza kwa nini pazia nafutia sahani. 9.  Leo mwizi kapigwa mpaka kasema, "mawe yanauma, nipigeni makofi.” 10.  Hasira mnatoa wapi wakuu, fikiria mtu anaua kipepeo. 11.  Bongo movie imen...

Cell structure and organization | Biology Form One Notes New Syllabus

Image
All living things are made up of cells. The cell is the basic functional unit of life. Task Search from library and reliable internet sources the information about cell. In 1665, an English scientist Robert Hooke revolutionized our understanding of life by designing a microscope and examining cork from a tree’s bark. He discovered that the cork consisted of numerous box-like structures that are closely packed together, resembling a honeycomb. These structures were named ‘cells’. Since then, it has been revealed that living things are made up of one or more cells, and these are fundamental units of life. All essential life processes occur within the cell. The remarkable observations and conclusions made by Hooke, along with other scientists, paved the way for the development of the cell theory. This widely accepted theory indicates the relationship between cells and living things. C omponents of the cell theory (a) All living things are composed of one or more cells. (b) Cells are t...