Posts

Uhakiki wa riwaya ya Dunia Uwanja wa Fujo

Image
Wasiliana na Mwalimu ili Kujiunga Darasa la Uhakiki wa Vitabu vyote vya Fasihi Mtaala Mpya kwa Kugusa Hapa Mwandishi: Euphrase Kezilahabi Mwaka: 1975 Mhakiki: Mwalimu Makoba Nilipofika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa ajili ya masomo yangu, mtu wa kwanza kutamani kumuona alikuwa ni Profesa Euphrase Kezilahabi. Nilimsoma katika kazi zake mbalimbali ikiwamo hii ya Dunia Uwanja wa Fujo. Nilianza msako mara moja wa kumtafuta Profesa Kezilahabi bila mafanikio. Baadaye niligundua kupitia kwa mwalimu wangu M.M. Mulokozi, ambaye aliwahi kuwa mwanafunzi wa Kezilahabi kwamba, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kilimfuta kazi Kezilahabi miaka mingi iliyopita! Mwishoni mwa miaka ya 1990 Kezilahabi aliomba likizo ya miaka miwili kwenda kufundisha Botswana . Alikubaliwa na akaenda Botwana mwaka 1995. miaka miwili ilipokwisha Botswana walimwongezea muda, akakiomba Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kimwongezee muda lakini akakataliwa na kuambiwa arejee mara moja. Aliposhindwa kurejea alifutwa kazi na kujikuta ha...

Classification of Living Things | Biology Form One Topic 4 New Syllabus

Image
Jipatie Kitabu Chenye Notes Zote za Biology Form One Silabasi Mpya, Wasiliana na Mwalimu kwa Kugusa Hapa There are different kinds of organisms in the world. Some are too small, they can not be seen with naked eyes. Such organisms are called micro-organisms . Others can be seen with naked eyes and are called macro-organisms . Concept of Classification Classification is the process of grouping organisms according to their similarities and differences. Organisms are grouped on the basis of similarities in terms of their evolutionary relationship or the way they carry out life processes, such as feeding and reproduction. The field of biology that deals with classifying organisms is called taxonomy . Organisms such as snails, orange trees, crocodiles, birds, lions, and baobab trees belong to different groups. Activity: Grouping living things according to their similarities and differences Materials: A variety of small plants, insects, and other animals, notebook, and a pen or pencil. Proc...