Matokeo NECTA Kidato cha Sita 2026
NECTA Wametangaza matokeo ya kidato cha sita, wapo wanafunzi waliofanya vyema, lakini wapo wanafunzi ambao wameshindwa kufikia malengo yao. Tazama Hapa Matokeo NECTA Kidato cha Sita 2026 Wanafunzi waliofanya vizuri tunawapongeza na kuwatakia kila la heri katika safari yao ya masomo yanayoendelea. Wanafunzi waliofanya vibaya, wasikate tamaa, bado wana nafasi yakurudia mitihani yao. Tafsiri ya kufanya vibaya ni kushindwa kufikia malengo. Kwa mfano, mwanafunzi aliyekuwa na malengo ya kwenda chuo kikuu, pale anapopata chini ya D mbili, hujiona kama ambaye hajafikia malengo kwani anatakiwa aongeze D nyingine moja. Huu si muda wa kukata tamaa, bali ni muda wa kurudia tena. Mwanafunzi aliyepata C moja na E, huyo anahesabiwa kuwa na sifa za kwenda chuo kikuu hata kama hajapata D mbili. Katika kurudia mitihani, wanatakiwa watambue kwamba, mtaala sasa umebadilika, vitabu ni vipya siyo vile ambavyo walisoma zamani. Hata hivyo, masomo haya yanaeleweka vyema na yeyote anayetemaani kufaulu vyema ana...