Posts

Uhakiki wa Riwaya ya Wasifu wa Siti binti Saad

Image
Wasiliana na Mwalimu ili Kujiunga Darasa la Uhakiki wa Vitabu vyote vya Fasihi Mtaala Mpya kwa Kugusa Hapa Mwandishi: Shaaban Robert Mhakiki: Mwalimu Makoba Utangulizi Wasifu wa Siti binti Saad ni riwaya inayozungumzia maisha ya Siti, mwanamke aliyeutangaza mziki wa taarabu duniani kote. Wasifu ni riwaya ambayo huandikwa na mwandishi mwingine akisimulia maisha ya mtu fulani. Maisha ya Siti yamesimuliwa vyema na Shaaban Robert, mwandishi mahiri wa wakati wote. Shaaban Robert hakusimuliwa maneno aliyoyaandika na Siti mwenyewe, aliipata historia hii kwa kutafuta huku na huko. Wakati Shaaban Robert alipotembelea Zanzibar, alionana na Siti, lakini hawakuweza kuzungumza sana hasa kwa sababu Siti alikuwa mgonjwa, haukupita muda Siti alifariki mnamo mwaka 1950. hili halikumzuia Shaaban Robert kuiandika historia ya Siti, aliiiandika kupitia vyanzo alivyovijua yeye mwenyewe, habari nyingi zikiwa za kweli, lakini kama ilivyo kawaida ya waandishi wengi, Shaaban katia chumvi kidogo. Simulizi kwa u...

Pan Africanism | History Form Five Topic 1

Image
The development of Pan-Africanism in Africa is directly linked to the history of the development of capitalism in Europe and the Americas. The concept of Pan-Africanism The term Pan-Africanism is derived from two words: ‘pan,’ meaning all, and ‘Africa,’ meaning the continent. Pan-Africanism is a belief that African people have much in common, including common identity, common culture, common destiny, and the shared history of colonialism and imperialism. This movement originated in the Caribbean Islands, U.S.A and other parts of the New World under the influence of different social, economic, cultural and political factors. Although Pan-Africanism was started by the people of African origin in the New World, it became a worldwide movement that encouraged and strengthened the solidarity of all black people. The movement sought to bring all people of African origin together so that they could fight against racial discrimination, colonial domination, and the evils of imperialism. Soma:...