Posts

Uhakiki wa Riwaya ya Joka la Mdimu

Image
Mwandishi: Abdallah Saffari Mhakiki: Mwalimu Makoba Simulizi kwa ufupi Joka la mdimu ni aina ya nyoka ambaye hukaa katika majani ya kijani. Kwa kuwa nyoka huyu hufanana na majani, ni ngumu sana kumtambua. Joka hili la mdimu linafananishwa na viongozi. Viongozi hawa wanafanana na sisi kwa kila kitu hivyo ni vigumu mno kutambua hatari yao ya uongozi mbaya, rushwa, mauaji na ulaghai. Cheche anaumia akishiriki maonyesho ya sherehe za uhuru. Kwa sababu ya kukosekana kwa fedha za kigeni, inashindikana kumpeleka Uingereza kutibiwa, na japo serikali inawajibika kumtibia, haionekani kufanya hivyo wala kujali. Baba yake anavamia benki, anapata fedha na kufanikiwa kumpelekea Uingereza kutibiwa. Maudhui Dhamira Hali ngumu ya maisha Katika riwaya hii tunauona ugumu wa maisha. Mhusika Jinja Maloni anafanya kazi yoyote ilimradi mkono uende kinywani. Anafanya kazi ya kuchimba makaburi na kupakua vyoo. Hali hii ngumu ya maisha inasababishwa na uongozi mbaya, viongozi wameshindwa kuzuia rushwa, mfumuk...

Uhakiki wa Tamthiliya ya Usaliti Mjini

Image
Wasiliana na Mwalimu ili Kujiunga Darasa la Uhakiki wa Vitabu vyote vya Fasihi Mtaala Mpya kwa Kugusa Hapa Mwandishi: Francis Imbuga Mwaka: 1976 Mhakiki: Mwalimu Makoba Simulizi kwa Ufupi Tamthiliya hii inahusu harakati za wanajamii kupigania haki ikiwamo kupambana na uongozi mbaya uliokithiri. Wanafunzi wanafanya maandamano kupinga uongozi mbaya, katika maandamano hayo wanafunzi wengi wanauawa, miongoni mwao ni Adika.   Adika ana ndugu yake anayebaki hai, naye anaitwa Jaspa Wendo, mwanafunzi wa chuo kikuu. Mauaji haya yanafanyika kwa sababu ya uongozi mbaya wa Bosi, kiongozi wa Kafira. Bosi ambaye ndiye kiongozi mkuu, anashauriwa na binamu yake aitwaye Mulili. Uongozi wote mbaya, mshauri mkuu ni Mlili. Mwisho tunaona igizo likiandaliwa ili kutoa burudani. Waigizaji wanachaguliwa, miongoni mwao ni Jaspa Wendo. Mwingine ni Mosese, mhadhiri wa chuo kikuu aliyefungwa kwa kupinga maovu ya serikali. Katika igizo hilo, mwigizaji mmoja hakutokea, Bosi anachukua nafasi yake. Wanapopand...

History Form Four 2025 NECTA Examination

Image
Time: 3 Hours Instructions This paper consists of sections A, B and C with a total of eleven (11) questions. Answer all questions in sections A and B and two (2) questions from section C.   Section A carries sixteen (16) marks, section B fifty four (54) marks and section C carries thirty (30) marks.   All writing must be in blue or black ink except drawing which must be in pencil.   Communication devices and any unauthorized materials are not allowed in the examination room.   Write your Examination Number on every page of your answer booklet(s). Section A (16 Marks) Answer all questions in this section. For each of the items (i) – (x), choose the correct answer from among the given alternatives and write its letter beside the item number in the answer booklet(s) provided. (i) Many pre-colonial African societies handed down historical information by word of mouth from one generation to another. Which term befits such a source of historical information? A. Archaeolog...